KARIBUNI KATIKA BLOG HII YA KIJAMII ITAKAYOKUWA IKIWALETEA PICHA NA MATUKIO MBALIMBALI TOKA KATIKA KANDA YA KASKAZINi MWA TANZANIA PAMOJA NA MATUKIO MBALIMBALI DUNIANI
Sunday, July 12, 2009
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Baslio matei akionysha silaha aina ya AK-47 zilizokamatwa toka kwa majambazi katika eneo la wilaya ya Ngorongoro zilizokuwa zikitumika katika matukio ya kiuhalifu.
Ni Mtanzania mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa Esso mjini arusha,ni kijana ambaye hupenda kuongela maendela ba mustakabali wa nchi yetu kiuchumi,kisiasa na kijamii
No comments:
Post a Comment