KARIBUNI KATIKA BLOG HII YA KIJAMII ITAKAYOKUWA IKIWALETEA PICHA NA MATUKIO MBALIMBALI TOKA KATIKA KANDA YA KASKAZINi MWA TANZANIA PAMOJA NA MATUKIO MBALIMBALI DUNIANI
Sunday, July 12, 2009
Hii ni miili ya majambazi 14 wa Kenya waliouwawa mjini mjini moshi wakati wakiwa ktik mpango wa kuvmia benki na kuvmia gereza l Ngarang mbpo mtuhumiwa mwenzao alikuwa anashikiliwa.hivi ni kweli hawa walijibishana na polisi kwa kuruhian risasi/swali wadau.
Ni Mtanzania mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa Esso mjini arusha,ni kijana ambaye hupenda kuongela maendela ba mustakabali wa nchi yetu kiuchumi,kisiasa na kijamii
No comments:
Post a Comment