KARIBUNI KATIKA BLOG HII YA KIJAMII ITAKAYOKUWA IKIWALETEA PICHA NA MATUKIO MBALIMBALI TOKA KATIKA KANDA YA KASKAZINi MWA TANZANIA PAMOJA NA MATUKIO MBALIMBALI DUNIANI
Sunday, July 12, 2009
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Rais jakaya M.Kikwete akiwa na mkuu wa majeshi Jenrali Davis Mwamunyange,waziri wa ulinzi(mwenye suti0na maofisa mbalimbali wa JWTZ katika mahafali ya kuwatunuku maofisa wapya vyeo katika chuo cha kijeshi cha Monduli. (Picha/Gebo Arajiga)
Ni Mtanzania mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa Esso mjini arusha,ni kijana ambaye hupenda kuongela maendela ba mustakabali wa nchi yetu kiuchumi,kisiasa na kijamii
No comments:
Post a Comment